Mradi wa ulazaji wa mabomba makuu ya usambazaji maji unaendelea, jumla ya KM 40.5 za urefu wa mtandao wa bomba zinalazwa ili kuboresha mfumo wa usambazaji maji kwa wakazi wa Mwanza
Ujenzi wa tenki la kupokea na kusambaza maji Sahwa unaendelea, tenki hili la ujazo wa lita milioni 3 litapokea maji kutoka chanzo cha Butimba na kusambaza kwenda kwa Wateja kupitia matenki
Mradi wa Ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (Pump house) eneo la Butimba unaendelea kutekelezwa kwa kasi, Mradi unatekelezwa ili kuboresha mfumo wa usambazaji maji katika Jiji la Mwanza
Mradi wa ujenzi wa tenki eneo la Kagera (Buhongwa) la lita milioni 10 kwaajili ya kuhifadhi na kusambaza maji unaendelea kutekelezwa kwa kasi.
Mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (Pump house) eneo la Sahwa unaendelea kutekelezwa kwa kasi, Mradi huu unatekelezwa ili kuimarisha mfumo wa usambazaji maji kwa wakazi wa Mwanza
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine katika uzinduzi wa mradi wa maji wa Butimba Julai 2025.
Waziri wa maji Mhe. Jumaa Aweso akifungua mkutano wa wataalam wa Rasilimali watu, utawala, maendeleo ya jamii, mawasiliano na uhusiano wa sekta ya maji Novemba 14, 2024 katika ukumbi wa NSSF
Wanafunzi wa Shule ya Msingi "Pope John Paul II Memorial" iliyopo Nyamongo Wilayani Tarime Mkoani Mara walipofanya ziara ya mafunzo katika Mradi wa maji Butimba - MWAUWASA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA Neli Msuya (kulia) alipotembelea Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Lilian Lukambuzi (katikati) Novemba 15
Wanafunzi wa shule ya msingi Sahara wakifurahi baada ya kupatiwa elimu ya usafi wa mazingira na Maafisa kutoka MWAUWASA
Wataalamu wa maabara ya ubora wa maji wakihakiki sampuli za maji yanayozalishwa katika chanzo cha maji cha Butimba kujiridhisha na ubora wake kabla ya kuwafikia wananchi.
Kaimu mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA Neli Msuya akisalimiana na Wadau wa Maendeleo kutoka Ulaya walipokutana kujadili utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji huduma ya maji na Usafi wa Mazingira
Watumishi wa MWAUWASA wakifuatilia hotuba ya Mhe. Waziri wa Maji Jumaa Aweso alipotembelea Makao makuu ya MWAUWASA na kuzungumza na Watumishi Septemba 2024
Mwenyekiti wa Bodi ya MWAUWASA Christopher Gachuma (wa pili kushoto) pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA Neli Msuya na Wabunge wa Majimbo ya Nyamagana na Magu wakiwa katika Mradi
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda akipata maelezo kuhusu Mradi wa Maji Butimba alipotembelea Mradi huo Mei 2024
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri na Viongozi wa MWAUWASA walipotembelea kukagua Mradi wa Dharura wa maji wa Sahwa - Buhong
Muonekano wa Mradi wa maji Butimba Oktoba 2024 unaozalisha Lita Milioni 48 kwa siku
Muonekano wa Mradi wa maji Butimba Oktoba 2024 unaozalisha Lita Milioni 48 kwa siku
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Neli Msuya akishiriki zoezi la maboresho ya miundombinu ya maji Kanindo- Kishiri 21/05/2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mradi wa Maji Kyaka- Bunazi Wilayani Misenyi Mkoani Kagera 09 Juni, 2022
Epuka kutupa Taka ngumu kwenye Mfumo wa Majitaka
Jiunge na Mtandao wa majitaka