News

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UBORESHAJI WA MFUMO WA USAMBAZAJI MAJI - MWANZA

​Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Uboreshaji wa Mfumo wa Usambazaji wa Maji unaolenga kuboresha upatikanaji wa Majisafi kwa wakazi wa Jiji la Mwanza. Mradi huo unahusisha ujenzi wa matenki matano ya maji yenye jumla ya ujazo wa lita Milioni 31 yatakayojengwa katika maeneo ya Buhongwa, Fumagila, Nyamazobe, Kisesa na Usagara. Read More

Posted On: Feb 13, 2026

BILIONI 22 KUBORESHA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA MWANZA

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imesaini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa kuboresha mfumo rahisi wa uondoshaji Majitaka katika maeneo ya milimani jijini Mwanza, kwa lengo la kuimarisha usafi wa mazingira na kulinda Ziwa Victoria. Read More

Posted On: Feb 13, 2026

SERIKALI KUIMARISHA HUDUMA YA MAJI KUPITIA MIRADI YA KIMKAKATI

​Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Kundo Mathew, ameendelea na ziara yake MWAUWASA kwa siku ya pili kwa kutembelea mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhia maji Buhongwa, Fumagila na Nyamazobe pamoja na kituo vya kusukuma maji Sahwa. Read More

Posted On: Feb 13, 2026

​MHA. KUNDO AENDESHA KIKAO NA VIONGOZI SEKTA YA MAJI MWANZA

Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew, ameanza rasmi ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Mwanza ambapo amekutana na viongozi wa Sekta ya Maji kujadili masuala mbalimbali kuhusu huduma ya maji. Read More

Posted On: Feb 13, 2026

NYAMHONGOLO WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KULINDA MIUNDOMBINU YA MAJI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeendelea na jitihada za kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya maji, ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na endelevu. Read More

Posted On: Nov 17, 2025

MWAUWASA YAWATAMBUA WATEJA WAKE - KILELE CHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeadhimisha kilele cha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa MajiHouse Oktoba 10 2025. Read More

Posted On: Nov 17, 2025