News
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI YARIDHISHWA NA UFANISI WA MRADI WA MAJI WA BUTIMBA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeridhishwa na ufanisi wa mtambo wa kuzalisha na kutibu maji wa Butimba Mkoani Mwanza na imepongeza jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Maji kwa kufanikisha mradi huo. Read More
Posted On: Mar 25, 2024
HUDUMA IMEIMARIKA IGOMBE
Wakazi wa Igombe Kata ya Bugogwa wamefurahishwa na huduma ya majisafi na salama itolewayo na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA). Read More
Posted On: Mar 08, 2024
MAKABIDHIANO YA VYOO SHULENI
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imekabidhi Majengo ya vyoo kwa shule za Msingi 11 pamoja na Hospitali Nne katika wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha hali ya usafi wa Mazingira katika taasisi hizo. Read More
Posted On: Mar 08, 2024
MWAUWASA YAHIMIZA WANANCHI KUJIUNGA NA MTANDAO WA UONDOSHAJI MAJITAKA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) inaendelea kutoa hamasa kwa Wananchi waishio maeneo yenye Mtandao wa uondoshaji Majitaka kujiunga ili kuimarisha Usafi wa Mazingira katika Makazi yao na Jamii inayowazunguka. Read More
Posted On: Mar 08, 2024
SEMINA KWA WAENDESHA MITAMBO WA MWAUWASA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA), Ndg. Neli Msuya amewaasa watumishi kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi ili kufikia malengo na dhamira ya Serikali ya Kumtua Mwanamke ndoo ya maji kichwani. Read More
Posted On: Mar 08, 2024
QUICK WIN BUSWELU 90%
Utekelezaji wa Mradi wa Matokeo ya haraka "Quick Win " eneo la Buswelu Kahama na Nyamadoke umefikia asilimia 90% huku baadhi ya Wakazi wa maeneo hayo wakiwa tayari wameanza kunufaika na Mradi huo. Read More
Posted On: Feb 21, 2024