News

MWAROBAINI KERO YA MAJI ILEMELA WAPATIKANA
SERIKALI kwa kutambua kero ya upatikanaji wa majisafi na salama inayowakabili wananchi wa Ilemela hususan Kata ya Buswelu imeamua kutekeleza mradi wa shilingi bilioni 5.1 ili kuondokana na adha hiyo. Read More
Posted On: Nov 20, 2020

ZAIDI YA WAKAZI 16,000 KATA YA CHABULA KUPATA MAJISAFI NA SALAMA
Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema zaidi ya wakazi 16,000 kutoka Kata ya Chabula Wilayani Magu Mkoani Mwanza watanufaika na mradi wa maji wa Chabula-Bugando unaotekelezwa na wataalam kutoka MWAUWASA na RUWASA. Read More
Posted On: Aug 17, 2020

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga amezitaka Mamlaka za Maji kote nchini kushirikiana utekelezaji wa miradi kwa mfumo wa force account
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga amezitaka Mamlaka za Maji kote nchini kushirikiana utekelezaji wa miradi kwa mfumo wa force account Read More
Posted On: Aug 14, 2020

RC Mongella aimwagia sifa MWAUWASA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella ameipongeza MWAUWASA kwa utekelezaji wake wa miradi ikiwemo mradi wa ujenzi wa tenki la Majisafi kwenye Mji wa Ngudu, Wilayani Kwimba. Read More
Posted On: Jun 30, 2020
Bodi ya Nane ya Wakurugenzi yazinduliwa rasmi na Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Prof Kitila Mkumbo Juni 11, 2020
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Prof. Kitila Mkumbo amezindua rasmi Bodi ya Nane (8) ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (MWAUWASA) na kuiagiza kuandaa mkakati wa kuhakikisha huduma ya maji inaimarika ili kuwanufaisha wananchi wengi zaidi sambamba na kuhakikisha upotevu wa maji unadhibitiwa. Read More
Posted On: Jun 15, 2020

Mkutano na Washirika wa Maendeleo wamalizika
Wadau wa Maendeleo wanaotekeleza miradi ya maji kupitia programu ya Uboreshaji wa Huduma ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ijulikanayo kama LV WATSAN wameipongeza Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (MWAUWASA) kwa usimamizi wake mahiri. Read More
Posted On: Jun 12, 2020